forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
766 B
Markdown
28 lines
766 B
Markdown
# Sasa
|
|
|
|
neno hili linaweka alama ya kuhama kutoka katika hoja ya Paulo. Hapa anaanza kuelezea hali katika Yerusalemu wakati baadhi ya Wayahudi walipomweka Paulo nguvuni.
|
|
|
|
# baada ya miaka mingi
|
|
|
|
"baada ya miaka mingi kutoka Yerusalemu"
|
|
|
|
# Nilikuja kuleta misaada kwa taifa langu na zawadi ya fedha
|
|
|
|
Hapa "nilikuja" inaweza kutafsiriwa kama "Nilikwenda." "Nilikwenda kusaidia watu wangu kwa kuwapelekea fedha kama zawadi"
|
|
|
|
# katika sherehe ya utakaso katika hekalu
|
|
|
|
"katika hekalu baada ya kumaliza sherehe ya kujitakasa mwenyewe"
|
|
|
|
# Bila umati wa watu au ghasia
|
|
|
|
Hii yaweza tajwa kama kauli mpya. "Mimi nilikuwa sijakusanya umati wala sikujaribu kuanzisha ghasia"
|
|
|
|
# wamaume hawa
|
|
|
|
"Wayahudi kutoka Asia"
|
|
|
|
# kama wanajambo lolote
|
|
|
|
"Kama wana jambo lolote la kusema"
|