sw_tn/act/23/22.md

342 B

Taarifa ya jumla

Felix aliyekuwa mkazi wa Kaisaria alikuwa ni Gavana wa sehemu ya Rumi

aliwaita kwake

"aliwaita yeye mwenyewe"

maakida wawili

Maakida wake wawili

wapanda farasi sabini

"Wapanda farasi 70"

askari mia mbili wa mikuki

"Askari 200 ambao wanajilinda kwa mikuki"

saa tatu usiku

Hii ilikuwa yapata 9:00 usiku.