sw_tn/act/22/25.md

501 B

Taarifa ya jumla

Fungu hili linazungumzia juu ya askari.

Kamba

Hizi zilikuwa na nyuzi nyuzi za ngozi au mnyama.

Je, ni halali kwenu kumpiga viboko mtu ambaye ni raia wa Rumi na hajakuhumiwa bado?

Paulo alitumia swali hili kuuliza juu ya uhalali wa kuchapwa kwake viboko. "Si halali kwenu kumpiga mijeledi mtu ambaye ni raia wa Rumi na hajakuhumiwa!"

Je, unataka kufanya nini?

Swali hili limetumika kuwaomba kamanda kufikiria upya mpango wake wa kumjeledi Paulo. "Hupaswi kufanya hivi!"