sw_tn/act/22/17.md

435 B

Sentensi unganishi

Paulo anaanza kwa kuwaambia umati wa watu kuhusu maono yake kwa Yesu.

ikatokea kwamba

Kipengere hiki kinaweka alama ya kuonyesha kuanza kwa tukio.

Nilipewa maono

Hii inaweza ikaanza: "nilikuwa na maono" au "Mungu alinipa maono"

Nilimwona akiniambia

"Nilimwona Yesu akiniambia"

hawataukubali ushuhuda wako kunihusu mimi

"Wale ambao wanaishi Yerusalemu hawataamini kile unachowaambia kunihusu mimi"