forked from WA-Catalog/sw_tn
691 B
691 B
Taarifa unganishi
Paulo anazidi kuongea na wazee wa Efeso
Na sasa, tazama, najua
"Na sasa, nisikilizeni kwa makini, kwasababu ninajua"
Mimi najua kuwa ninyi nyote
Mimi najua kuwa ninyi kwa ujumla wenu wote.
miongoni mwao nilikwenda kuwahubiri kuhusu Ufalme
kwenu ambao mimi niliwahubiria ujumbe kuhusu ufalme wa Mungu
hamtaniona uso wangu tena
Neno 'uso' hapa inawakilisha mwili wa Paulo.
Mimi sina hatia katika damu ya mtu yoyote
Siwezi kulaumiwa na mtu yeyote kuwa na hatia mbele za Mungu
mtu yeyote
Hapa inamaanisha nafsi ya kila mmoja wao awe mwanaume au mwanamke.
Kwa maana sikujizuia kuwatangazia
"kwamba sikukaa kimya bila kuwatangazia ujumbe wa kweli.