sw_tn/act/20/25.md

691 B

Taarifa unganishi

Paulo anazidi kuongea na wazee wa Efeso

Na sasa, tazama, najua

"Na sasa, nisikilizeni kwa makini, kwasababu ninajua"

Mimi najua kuwa ninyi nyote

Mimi najua kuwa ninyi kwa ujumla wenu wote.

miongoni mwao nilikwenda kuwahubiri kuhusu Ufalme

kwenu ambao mimi niliwahubiria ujumbe kuhusu ufalme wa Mungu

hamtaniona uso wangu tena

Neno 'uso' hapa inawakilisha mwili wa Paulo.

Mimi sina hatia katika damu ya mtu yoyote

Siwezi kulaumiwa na mtu yeyote kuwa na hatia mbele za Mungu

mtu yeyote

Hapa inamaanisha nafsi ya kila mmoja wao awe mwanaume au mwanamke.

Kwa maana sikujizuia kuwatangazia

"kwamba sikukaa kimya bila kuwatangazia ujumbe wa kweli.