sw_tn/act/19/13.md

915 B

Taarifa ya jumla

Huu ni mwanzo wa tukio jingine lililotokea wakati Paulo akiwa Efeso. Ni kuhusu wapunga mapepo Wayahudi.

Wapunga mapepo

watu ambao hufukuza roho wabaya kutoka kwa watu au maeneo

akilitumia jina la Yesu kwa matumizi yao wenyewe

Ingawa hawakuwa wakimwamini Yesu, walijaribu kutumia jina lake kama moja ya maneno yao ya muujiza

Walinena juu yao walikuwa wapegawa na roho chafu

Walilitaja jina la Yesu kwa roho wachafu zilizokuwa zimewapaa watu

wale waliokuwa na pepo wabaya

wale waliokuwa wakiongozwa na roho wabaya

Kwa Yesu anayehubiriwa na Paulo

"Yesu" lilikuwa ni jina la kawaida wakati ule, hivyo hao wapunga mapepo waliwataka wato kujua waliyekuwa wakimnena.

kwa Yesu

Hii inasimamia nguvu na mamlaka ya Yesu.

Waliofanya vile walikuwa wana saba wa kuhani wa kiyahudi, Skewa.

Hii ni habari inayojadili habari ya wapunga mapepo.

Skewa

Hili ni jina la mtu mwanaume.