forked from WA-Catalog/sw_tn
915 B
915 B
Taarifa ya jumla
Huu ni mwanzo wa tukio jingine lililotokea wakati Paulo akiwa Efeso. Ni kuhusu wapunga mapepo Wayahudi.
Wapunga mapepo
watu ambao hufukuza roho wabaya kutoka kwa watu au maeneo
akilitumia jina la Yesu kwa matumizi yao wenyewe
Ingawa hawakuwa wakimwamini Yesu, walijaribu kutumia jina lake kama moja ya maneno yao ya muujiza
Walinena juu yao walikuwa wapegawa na roho chafu
Walilitaja jina la Yesu kwa roho wachafu zilizokuwa zimewapaa watu
wale waliokuwa na pepo wabaya
wale waliokuwa wakiongozwa na roho wabaya
Kwa Yesu anayehubiriwa na Paulo
"Yesu" lilikuwa ni jina la kawaida wakati ule, hivyo hao wapunga mapepo waliwataka wato kujua waliyekuwa wakimnena.
kwa Yesu
Hii inasimamia nguvu na mamlaka ya Yesu.
Waliofanya vile walikuwa wana saba wa kuhani wa kiyahudi, Skewa.
Hii ni habari inayojadili habari ya wapunga mapepo.
Skewa
Hili ni jina la mtu mwanaume.