sw_tn/act/16/35.md

20 lines
332 B
Markdown

# Sentensi unganishi
Hii ni tukio la mwisho kwenye hadithi. Inahusu Paulo na Sila kuwachiwa kutoka gerezani
# ilipokuwa mchana
Hii ni mwanzo wa habari nyingine
# walituma ujumbe
"kutuma ujumbe" au Kutuma amri"
# waruhu hao wanaume
"waruhusu hao wanaume" au "waruhusu hao wanaume waende"
# tokeni nje
"tokeni nje ya gereza"