sw_tn/act/16/35.md

332 B

Sentensi unganishi

Hii ni tukio la mwisho kwenye hadithi. Inahusu Paulo na Sila kuwachiwa kutoka gerezani

ilipokuwa mchana

Hii ni mwanzo wa habari nyingine

walituma ujumbe

"kutuma ujumbe" au Kutuma amri"

waruhu hao wanaume

"waruhusu hao wanaume" au "waruhusu hao wanaume waende"

tokeni nje

"tokeni nje ya gereza"