sw_tn/act/16/25.md

366 B

Sentensi unganishi

Hii ni tukio lingine katika hadithi; inahusu Paulo na Sila gerezani na mlinzi wa gereza

wakiwasikiliza wao

"Neno wao" linamaanisha Paulo na Sila, ambao walikuwa wakiomba na kuimba nyimbo za kumsifu Mungu.

na misingi ya gereza ikatikiswa

"ambayo ilitikisa misingi ya gereza"

minyororo yao ikalegezwa

"minyororo yao waote ilifunguka"