forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
366 B
Markdown
16 lines
366 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Hii ni tukio lingine katika hadithi; inahusu Paulo na Sila gerezani na mlinzi wa gereza
|
||
|
|
||
|
# wakiwasikiliza wao
|
||
|
|
||
|
"Neno wao" linamaanisha Paulo na Sila, ambao walikuwa wakiomba na kuimba nyimbo za kumsifu Mungu.
|
||
|
|
||
|
# na misingi ya gereza ikatikiswa
|
||
|
|
||
|
"ambayo ilitikisa misingi ya gereza"
|
||
|
|
||
|
# minyororo yao ikalegezwa
|
||
|
|
||
|
"minyororo yao waote ilifunguka"
|