sw_tn/act/16/22.md

648 B

mahakimu wakararua nguo zao na kuwavulia

Mahakimu walirarua nguo za Paulo na Sila na kuwavulia"

na kuwaamuru wachapwe na viboka

"Kumuamuru maaskari kumchapa Paulo na Sila kwa viboko"

waliwatupa

"mahakimu waliwaweka Paulo na Sila" au " mahakimu waliwaamuru maasakari kumuweka Paulo na Sila"

na kumuamuru askari wa gereza kuwalinda vema

Askari wa gereza ni mtu anayehusika na wafu wote waliowekwa jela au gerezani. "kumuambi mlinzi wa gereza ahakikishe kuwa hawatoki nje"

kuwafunga

"kuwafungia imara katika sehemu"

nguzo

ni kipande cha mti iliyo na matobo kwa ajili ya kuwekea miguu ya mtu ili imzuiye mtu huyo asiweze kwenda.