sw_tn/act/15/05.md

257 B

lakini watu fulani

hapa Luka anatofautisha watu wanaoamini kuwa wokovu ni kwa Yesu pekee na wale wanaoamini kuwa wokovu ni kwa Yesu lakini pia wanaamini juu ya kutahiriwa kuwa ni muhimu kwa ajili ya wokovu

kutunza sheria ya Musa

kutii sheria ya Musa