sw_tn/act/13/35.md

886 B

Hii ndiyo sababu kasema pia katika zaburi nyingine

Wasikilizaji wa Paulo wangeweza kufahamu kuwa Zaburi hii ilikuwa inamtaja Masihi.

Anasema pia

"Daudi pia alisema." Daudi ni mwandishi wa Zaburi ya 16 ambapo nukuu hii imechukuliwa.

'Hautaruhusu mtakatifu wako kuuona uozo.'

Neno "kuona uozo" ni neno linalofanana na "kuharibika." Hutaruhusu mwili wa mtakatifu wako kuharibika."

Hutaruhusu

Hapa Daudi anamwambia Mungu.

Katika kizazi chake

"Katika kipindi cha uhai wake"

kutumika katika nia ya Mungu

"alifanya kile alichomtaka Mungu kufanya"

alilala,

Hii ilikuwa lugha laini iliyokwa inazungumzia kifo.

alilazwa pamoja na baba zake

"Alizikwa pamoja na baba zake waliokuwa wamekufa"

aliuona uaharibifu

"Kuona uharibifu" ni kusema kuwa "Mwili wake uliharibiwa"

Lakini aliyefufuliwa

"Lakini Yesu ambaye"

hakuuona uharibifu

"Yesu hakuona uharibifu"