forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
951 B
Markdown
40 lines
951 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Nukuu hii inatoka katika vitabu vya Injili.
|
|
|
|
# Kutoka kwenye ukoo wa mtu huyu
|
|
|
|
"KUtoka katika ukoo wa Daudi." Hii imewekwa mwanzoni mwa sentensi kuelezea kuwa Mwokozi angekuwa nduye aliyetoka katika ukoo wa Daudi.
|
|
|
|
# ameiletea Israeli
|
|
|
|
Inamaanisha watu wa Israeli.
|
|
|
|
# kama alivyoahidi kufanya
|
|
|
|
"Kama vile Mungu alivyoahidi angefanya"
|
|
|
|
# Ubatizo wa toba
|
|
|
|
Unaweza kulitafasiri neno "toba" kama kitenzi kama vile; "Ubatizo kwa watu waliotakiwa kutubu kwa ajili ya dhambi zao."
|
|
|
|
# "Mwanifikiri mimi ni nani?"
|
|
|
|
Yohana aliuliza swali kuwafanya watu wafikirie Yohana alikuwa nani.
|
|
|
|
# mimi si yule
|
|
|
|
Yohana alikuwa anamwelezea Masihi, ambaye watu walikuwa wanamtegemea kuja.
|
|
|
|
# Lakini sikilizeni
|
|
|
|
Neno linalo elezea umuhimu wa kile ambacho atakwenda kusema.
|
|
|
|
# ajaye nyuma yangu
|
|
|
|
Hii pia inazungumzia kuja kwa Masihi. "Masihi atakuja Mapema"
|
|
|
|
# sisitahili kulegeza viatu vya miguu yake.'
|
|
|
|
"Mimi sistahili hata kungua kamba za kiatu chake."
|