sw_tn/act/13/23.md

951 B

Maelezo ya jumla

Nukuu hii inatoka katika vitabu vya Injili.

Kutoka kwenye ukoo wa mtu huyu

"KUtoka katika ukoo wa Daudi." Hii imewekwa mwanzoni mwa sentensi kuelezea kuwa Mwokozi angekuwa nduye aliyetoka katika ukoo wa Daudi.

ameiletea Israeli

Inamaanisha watu wa Israeli.

kama alivyoahidi kufanya

"Kama vile Mungu alivyoahidi angefanya"

Ubatizo wa toba

Unaweza kulitafasiri neno "toba" kama kitenzi kama vile; "Ubatizo kwa watu waliotakiwa kutubu kwa ajili ya dhambi zao."

"Mwanifikiri mimi ni nani?"

Yohana aliuliza swali kuwafanya watu wafikirie Yohana alikuwa nani.

mimi si yule

Yohana alikuwa anamwelezea Masihi, ambaye watu walikuwa wanamtegemea kuja.

Lakini sikilizeni

Neno linalo elezea umuhimu wa kile ambacho atakwenda kusema.

ajaye nyuma yangu

Hii pia inazungumzia kuja kwa Masihi. "Masihi atakuja Mapema"

sisitahili kulegeza viatu vya miguu yake.'

"Mimi sistahili hata kungua kamba za kiatu chake."