forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
673 B
Markdown
32 lines
673 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Nukuu katika simlizi hii inatoka katika kitabu cha Samweli na katika Zaburi za Ethani katika Agano la kale.
|
|
|
|
# kwa miaka arobaini
|
|
|
|
"Kuwa mfalme wao kwa miaka arobaini"
|
|
|
|
# kumuondoa katika ufalme
|
|
|
|
Inamaanisha kuwa Mungu alisababisha Sauli asiendelee kuwa Mfalme. "Alimkataa asiwe Mfalme"
|
|
|
|
# alimwinua Daudi kuwa mfalme wao
|
|
|
|
"Mungu alimchagua Daudi kuwa Mfalme wao."
|
|
|
|
# Mfalme wao
|
|
|
|
"Mfalme wa Israeli" au "Mfalme juu ya Waisreli"
|
|
|
|
# Ilikuwa ni kuhusu Daudi kwamba Mungu alisema
|
|
|
|
"Mungu alisema hivyo kuhusu Daudi"
|
|
|
|
# Nimempata
|
|
|
|
"Nimeshaona kwamba"
|
|
|
|
# kuwa mtu apendezwaye na moyo wangu
|
|
|
|
namaanisha kuwa "Yeye ni mtu anayetaka kutenda ambayo mimi nataka"
|