forked from WA-Catalog/sw_tn
673 B
673 B
Maelezo ya jumla
Nukuu katika simlizi hii inatoka katika kitabu cha Samweli na katika Zaburi za Ethani katika Agano la kale.
kwa miaka arobaini
"Kuwa mfalme wao kwa miaka arobaini"
kumuondoa katika ufalme
Inamaanisha kuwa Mungu alisababisha Sauli asiendelee kuwa Mfalme. "Alimkataa asiwe Mfalme"
alimwinua Daudi kuwa mfalme wao
"Mungu alimchagua Daudi kuwa Mfalme wao."
Mfalme wao
"Mfalme wa Israeli" au "Mfalme juu ya Waisreli"
Ilikuwa ni kuhusu Daudi kwamba Mungu alisema
"Mungu alisema hivyo kuhusu Daudi"
Nimempata
"Nimeshaona kwamba"
kuwa mtu apendezwaye na moyo wangu
namaanisha kuwa "Yeye ni mtu anayetaka kutenda ambayo mimi nataka"