sw_tn/act/13/16.md

880 B

Sentensi unganishi

Paulo anaanza hotuba yake kwa watu waliokuwamo kwenye Sinagogi huko Antiokia ya Pisidia. Anaanza kwa kuzungumzia mambo ambayo yalitokea katika historia ya Israeli.

alisimama na kuwapungia mkono

Inamaanisha kutoa ishara kwa mikono kwamba yuko tayari kuanza kusema.

enyi mnao mtii Mungu

Anamaanisha, Wamataifa ambao wanafuata desturi na dini ya Kuyahudi. "Ninyi msio Waisrael, lakini mnamwabudu Mungu"

sikilizeni

"Nisikieni mimi" au "Sikieni ambacha nataka kuwaambia"

Mungu wa hawa watu wa Israeli

"Mungu ambye anaabudiwa na Waisraeli

baba zetu

"Mababa wa Wayahudi"

na kuwafanya watu wengi

"Aliwawezesha wao kuwa watu wengi sana"

kwa mkono wake kuinuliwa

anamaanisha Mkono wa Mungu wenye uweza.

aliwaongoza nje yake

"Kutoka katika nchi ya Misri"

aliwavumilia

linamaanisha "Aliwajali" na "Aliwavumilia katika kutokutii kwao"