sw_tn/act/12/24.md

817 B

Maelezo ya jumla

Hii ni taarifa inayotoa mrejesho juu ya kuenea kwa neno la Mungu na kwa vile Barnaba na Sauli walikuwa wakifanya.

neno la Mungu likakua na kusambaa

Neno la Mungu likahubiriwa kama vile mti mbichi uliokuwa na uwezo wa kustawi na kuzaa matunda. "Neno la Mungu likasambaa katika maeneo mbalimbali na watu wakamwamini."

Neno la Mungu

Watu wengi walisikia habari za neno la Mungu na kuupokea wokovu kwa njia ya Yesu.

kukamilisha huduma yao wakatoka pale wakarejea Yerusalemu,

Inaelezea wakati walipopeleka fedha kutoka kwa waumini wa Antiokia sura 11:29.

walirudi kutoka kule

Walirudi kwenda Antiokia. "Baraba na Sauli walirudi Antiokia"

wakamchukua na Yohana

"Baraba na Sauli walimchukua Yohana pamoja nao"

ambaye jina la kuzaliwa ni Marko

"Alikuwa akiitwa jina jingine Marko"