sw_tn/act/11/27.md

670 B

Maelezo ya jumla

Luka anaelezea historia kuhusu unabii huko Antiokia.

Sasa

Neno hili linatumika kuweka kituo katika simlizi hiyo kuu.

manabii wakashuka kutoka Yerusalemu mpaka Antiokia

Yerusalemu ilikuwa juu zaidi ya Antiokia, hivyo ilikues kawaida ya Waisraeli kusema wanapanda kwenda Yerusalemu

Agabo ndilo jina lake

"Jina lake alikuwa akiitwa Agabo

akiashiriwa na Roho

"Roho Mtakatifu alimwezesha kutoa unabii"

njaa kali itatokea

"Upungufu mkubwa wa chakula utatokea"

Juu ya dunia yote

Akimaanisha, "Katika dola yote ya Kirumi"

wakati wa siku za Klaudio.

Wasikilizaji wa Luka wangejua kwamba Klaudio alikuwa Mtawala wa Rumi wakati huo.