sw_tn/act/11/22.md

703 B

Maelezo ya jumla

Katika mistari hii Luka anaanza kumtaja Barnaba na wakati huo huo akiwataja waumini wa kanisa la Yerusalemu.

masikioni mwa kanisa

apa neno "masikio" linamaanisha Waumini walisikia habari za matukio.

kuona karama ya Mungu

"Kuona neema ya Mungu" au "Namna gani Mungu ametenda kwa ukarimu juu ya waumini".

aliwatia moyo wote

"Aliendelea kuwatia moyo"

kubaki na Bwana

"kubaki waaminifu katika Bwana" au"Kuendelea kumtumaini Bwana"

Kwa miyo wao wote

"Kwa utimilifu; au Bila kupungukiwa"

amejazwa na Roho Mtakatifu

Barnaba aliongonzwa na Roho Mtakatifu kwa vile alikuwa amemtii.

watu wengi wakaongezeka katika Bwana

"Kuongezeka" Walioamini walizidi kuongezeka.