sw_tn/act/11/17.md

566 B

Sentensi unganishi

Petro anamalizia hotuba yake aliyokuwa ameianza katika sura 11:4 kwa Wayahudi juu ya maono yaliyotokea katika nyumba ya Korinerio.

Pia kama Mungu ametoa zawadi... mimi ni nani, kwamba naweza kumpinga Mungu?

Petro anatumia swali hilikueleza kuwa yeye alikuwa anafanya vile kwa kumtii Mungu.

Zawadi sawa

Petro anaelezea zawadi ya Roho Mtakatifu.

Waliposikia mambo haya, hawakurudisha,

"Walinyamaza, hawakuweza tena kumshambulia Petro.

Mungu ametoa toba kwa ajili ya uzima.

"Ametoa toba kwa wote kuwaongoza katika uzima wa milele"