sw_tn/act/10/36.md

612 B

Sentensi unganishi

Petro anaendelea na Kornerio pamoja na wageni wake.

ambaye ni Bwana wa wote

"Wote" maana yake watu wote"

Yudea yote

"Katika maeneo mbalimbali ya Yudea"

baada ya ubatizo ambao Yohana alitangaza

"Baada ya Yohana kuhubiri kwa watu kurubu na kubatizwa"

Mungu alivyomtia mafuta kwa Roho Mtakatifu na kwa nguvu

Roho Mtakatifu na nguvu za Mungu zimenenwa kana kwamba ni vitu vinaweza kumiminwa juu ya mtu.

wote walioteswa na ibilsi

"Watu wengi waliokuwa wanapitia mateso ya shetani"

Mungu alikuwa pamoja naye.

Inamaanisha; "Mungu alikuwa akimtia nguvu kuzitenda kazi zote"