forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
530 B
Markdown
28 lines
530 B
Markdown
# akiwaza juu ya hayo maono
|
|
|
|
"Wakati Petro alipokuwa akifikri juu ya haya maono"
|
|
|
|
# Roho
|
|
|
|
"Roho Mtakatifu"
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
Uwe macho" au "Amka"
|
|
|
|
# watu watatu wanakutafuta
|
|
|
|
Baadhi ya nyaraka za kale zinasema idadi tofauti ya wale watu.
|
|
|
|
# Shuka chini
|
|
|
|
"Shuka chini kutoka dari ya nyumba"
|
|
|
|
# Usiogope kwenda nao
|
|
|
|
Ingekuwa kawaida kwa Petro kutokwena na hao watu; 1) Kwa vile walikuwa wageni kwake na 2) Walikuwa wa mataifa ambapo Wayahudi walikuwa hawachangamani na wao.
|
|
|
|
# Mimi ni yule mnayemtafuta
|
|
|
|
"Mimi ndiye mtu yule mnayemtafuta"
|