sw_tn/act/10/07.md

599 B

Baada ya Malaika aliyekuwa akisema naye kuondoka

"Baada ya maono ya Kornelio kufika mwisho"

Askari aliyekuwa akimwabudu Mungu kutoka miongoni mwa maaskari waliokuwa wakimtumikia.

Moja ya maaskari waliokuwa wakimtumikia Kornelio ambao pia walikuwa wakimwabudu Mungu. Ilikuwa mara chache sana jeshi la kirumi, ambapo Kornerio na maaskari wengine kumcha Mungu, alihali wenginge hawamchi Mungu.

aliwaambia yote yaliyotokea

Kornerio alielezea maono yake kwa watumishi wake wawili na kwa mmoja wa maaskari wake.

akawatuma Yafa

"aliwatuma wawili wa watumishi wake na askari mmoja huko Yafa"