sw_tn/act/09/10.md

716 B

Maelezo ya jumla

Simulizi inabadilika na kuanza kumtaja mtu aliyeitwa Anania ambae anatambulishwa kwenye simulizi. Huyu sio Anania yule aliyetajwa katika matendo ya mitume 5:1, 3.

Basi palikuwa

Hii inatambulisha wahusika wapya, Anania

Naye alisema

Anania alisema

Inuka uenda zako katika mtaa uitwao Nyofu

Nenda kwenye barabara inayoitwa nyoofu.

Katika nyumba ya Yuda

Yuda si yule mwanafunzi aliyemsaliti Yesu. Yuda alikuwa ndio mmiliki wa nyumba uko Dameski ambapo Anania alikuwa akiishi.

Mtu wa Tarso aitwaye Sauli

"Mtu kutoka katika mji wa Tarso"

kumwekea mikono juu yake

Hii ilikuwa alama ya kumpatia Sauli baraka za kiroho.

Kwamba apate kuona

"Aweze kuona kwa mara nyingine tena"