forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
716 B
Markdown
32 lines
716 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Simulizi inabadilika na kuanza kumtaja mtu aliyeitwa Anania ambae anatambulishwa kwenye simulizi. Huyu sio Anania yule aliyetajwa katika matendo ya mitume 5:1, 3.
|
||
|
|
||
|
# Basi palikuwa
|
||
|
|
||
|
Hii inatambulisha wahusika wapya, Anania
|
||
|
|
||
|
# Naye alisema
|
||
|
|
||
|
Anania alisema
|
||
|
|
||
|
# Inuka uenda zako katika mtaa uitwao Nyofu
|
||
|
|
||
|
Nenda kwenye barabara inayoitwa nyoofu.
|
||
|
|
||
|
# Katika nyumba ya Yuda
|
||
|
|
||
|
Yuda si yule mwanafunzi aliyemsaliti Yesu. Yuda alikuwa ndio mmiliki wa nyumba uko Dameski ambapo Anania alikuwa akiishi.
|
||
|
|
||
|
# Mtu wa Tarso aitwaye Sauli
|
||
|
|
||
|
"Mtu kutoka katika mji wa Tarso"
|
||
|
|
||
|
# kumwekea mikono juu yake
|
||
|
|
||
|
Hii ilikuwa alama ya kumpatia Sauli baraka za kiroho.
|
||
|
|
||
|
# Kwamba apate kuona
|
||
|
|
||
|
"Aweze kuona kwa mara nyingine tena"
|