sw_tn/act/07/31.md

511 B

alishangaa na kustaajabia kile alichokiona

Musa alishangaa kwamba kichaka hakiungui moto. Hii ilijulikana na watazamaji wa Stefano.

Aliposogelea kwenda kutazama ....Musa alitetemeka na hakuthubutu kuangalia

Hii inamaanisha Musa alikisogelea kichaka kwa karibu ili kuchunguza kilichokuwa kinatokea, lakini ghafla akarudi nyuma kwa hofu aliposikia sauti ikitoka ndani ya kichaka.

Mimi ni Mungu wa baba zako

"Mimi ni Mungu ambaye baba zako waliniabudu"

Musa alitetemeka

Musa alitetemeka kwa hofu.