forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
511 B
Markdown
16 lines
511 B
Markdown
|
# alishangaa na kustaajabia kile alichokiona
|
||
|
|
||
|
Musa alishangaa kwamba kichaka hakiungui moto. Hii ilijulikana na watazamaji wa Stefano.
|
||
|
|
||
|
# Aliposogelea kwenda kutazama ....Musa alitetemeka na hakuthubutu kuangalia
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha Musa alikisogelea kichaka kwa karibu ili kuchunguza kilichokuwa kinatokea, lakini ghafla akarudi nyuma kwa hofu aliposikia sauti ikitoka ndani ya kichaka.
|
||
|
|
||
|
# Mimi ni Mungu wa baba zako
|
||
|
|
||
|
"Mimi ni Mungu ambaye baba zako waliniabudu"
|
||
|
|
||
|
# Musa alitetemeka
|
||
|
|
||
|
Musa alitetemeka kwa hofu.
|