sw_tn/act/07/22.md

714 B

Musa alifundishwa

"Wamisri walimfundisha Musa"

Mafundisho yote ya kimisri

hii inaongezea ,"vitu vyote walivyovijua Wamisri."

alikuwa na nguvu katika maneno na matendo

"alikuwa na uwezo katika maneno na matendo yake"

ikamjia katika moyo wake

Musa alitafakari na kisha akaamua

kutembelea ndugu zake, Wana wa Israeli

Kuona jinsi gani ndugu zake, wana wa Israeli wanaendeleaje.

Alipomwona Mwisraeli akitendewa mabaya

Alipomwona Mmisri anamtesa mwisraeli, Musa alimtetea na akalipiza kisasi kwa kumpiga hadi kufa yule Mmisri.

Musa alifikiri

" Musa alidhani kuwa, alichokifanya ndugu zake watajua kuwa ni Mungu anawapigania"

kwa mkono wake

kupitia yeye Mungu alikuwa akiwaokoa ndugu zake.