forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
496 B
Markdown
20 lines
496 B
Markdown
# Katika kipindi kile Musa alikuwa amezaliwa
|
|
|
|
Haya ni maelezo ya kumtambulisha mtu mpya, Musa.
|
|
|
|
# Alikuwa mzuri mbele za Mungu
|
|
|
|
Musa alikuwa kijana mzuri
|
|
|
|
# Akalelewa miezi mitatu
|
|
|
|
Wazazi wake walimlea Musa miezi mitatu.
|
|
|
|
# Wakati alipotupwa nje
|
|
|
|
Musa "alitupwa" kwa sababu Farao alikuwa ameamuru kila mtoto wa kiume azaliwapo lazima atupwe. Wazazi wake walilazimika kumweka nje ya nyumba yao.
|
|
|
|
# Binti Farao alimchukua na kumfanya kama mwana wake
|
|
|
|
kama vile alikuwa mwanaye wa kiume wa kuzaa
|