forked from WA-Catalog/sw_tn
496 B
496 B
Katika kipindi kile Musa alikuwa amezaliwa
Haya ni maelezo ya kumtambulisha mtu mpya, Musa.
Alikuwa mzuri mbele za Mungu
Musa alikuwa kijana mzuri
Akalelewa miezi mitatu
Wazazi wake walimlea Musa miezi mitatu.
Wakati alipotupwa nje
Musa "alitupwa" kwa sababu Farao alikuwa ameamuru kila mtoto wa kiume azaliwapo lazima atupwe. Wazazi wake walilazimika kumweka nje ya nyumba yao.
Binti Farao alimchukua na kumfanya kama mwana wake
kama vile alikuwa mwanaye wa kiume wa kuzaa