sw_tn/act/07/20.md

496 B

Katika kipindi kile Musa alikuwa amezaliwa

Haya ni maelezo ya kumtambulisha mtu mpya, Musa.

Alikuwa mzuri mbele za Mungu

Musa alikuwa kijana mzuri

Akalelewa miezi mitatu

Wazazi wake walimlea Musa miezi mitatu.

Wakati alipotupwa nje

Musa "alitupwa" kwa sababu Farao alikuwa ameamuru kila mtoto wa kiume azaliwapo lazima atupwe. Wazazi wake walilazimika kumweka nje ya nyumba yao.

Binti Farao alimchukua na kumfanya kama mwana wake

kama vile alikuwa mwanaye wa kiume wa kuzaa