sw_tn/act/05/40.md

680 B

Kisha, waliwaita mitume ndani na kuwachapa

Wajumbe wa baraza waliwaamru walinzi wa hekalu kuwachapa viboko mitume.

kuwaamuru wasinene kwa jina la Yesu

Wasinene tena juu ya jina la Yesu lenye mamlaka.

wamehesabiwa kuwa wamestahili kuteseka na kutoheshimiwa kwa ajili ya Jina hilo

Ilikuwa ni faida kuteswa na kudharauliwa kwa ajili ya Yesu.

Baada ya hapo kila siku

"Baada ya siku hiyo, kila siku." Kifungu hiki kinaonyesha kile walichokifanya mitume kila siku kwa siku zilizofuata. Walitiwa moyo kufanya hili kwasababu ya kile kilichotokea katika tukio hilo la kuadhibiwa kwao.

Waliendelea kufundisha

"Hawakuacha kufundisha" Hekaluni na katika nyumba za waumini.