sw_tn/act/05/12.md

527 B

Sentensi unganishi

Luka anaendelea kuwaambia wasomaji kile kilichotokea siku za mwanzoni mwa kanisa Yerusalemu.

Ishara nyingi na maajabu vilikuwa vinatokea miongoni mwa watu kupitia mikono ya mitume

Miujiza na ajabu nyingi ilitendwa miongoni mwa watu kupitia mikono ya mitume.

ukumbi wa Sulemani.

Hili lilikuwa ni eneo Njia ya kutembea lililokuwa limezungukwa na nguzo zilizojengwa kushikilia paa ambalo watu waliliita Mfalme Sulemani.

walipewa heshima ya juu na watu.

Watu waliwaonyesha waumini heshima ya juu.