sw_tn/act/04/27.md

276 B

Sentensi unganishi

Waumini wanaendelea na maombi.

Katika mji huu

"Katika Yerusalemu"

mtumishi wako mtakatifu Yesu

"Yesu anayekutumikia kwa uaminifu"

kufanya yote ambayo mkono wako na mapenzi yako yaliyaamuru

Neno "Mkono" limetumika kwa maana ya nguvu za Mungu.