forked from WA-Catalog/sw_tn
750 B
750 B
Maelezo ya jumla
Paulo anaendelea kuzungumzia Wayahudi Viongozi.
Wakati walipoona ujasiri wa Petro na Yohana
Neno "Ujasiri" linaelezea njia ambayo Petro na Yohana wameitumia kujibu za viongozi Wayahudi.
wakagundua kwamba walikuwa ni watu wakawaida wasio na elimu
Wayahudi viuongozi walitambua hivi kwasababu ya njia ambayo Petro na Yohana waliinena.
Walikuwa ni watu wa kawaida, wasio na elimu
Neno "kawaida" na "wasio na Elimu" ni maneno yanayogawana maana moja. Petro na Yohana hawakupata mafunzo ya elimu katika sheria ya kiyahudi
mtu aliyeponywa
Mtu ambaye alikuwa ameponya na Yesu kupitia Petro na Yohana
hawakuwa na kitu cha kusema dhidi ya hili.
Hawakuwa na cha kusema dhidi ya Petro na Yohana juu ya kuponywa kwa huyo.