sw_tn/act/03/21.md

917 B

Sentensi ungaishi:

Petro anaendelea na hotuba yake kwa Wayahudi waliokuwa wamesimama kwenye eneo la hekalu.

Maelezo ya Jumla

Katika mistari ya 22-23 Petro ananukuu mambo fulani Musa alisema mapema kuhusu Masihi.

mbingu lazima zipokee

Ni mmoja ambaye mbingu lazima zimpokee. Petro anazungumza na mbingu kama anaongea na mtu aliyempokea Yesu nyumbani mwake.

mpaka wakati wa kurejeshwa kwa vitu vyote

"hadi wakati ambao Mungu atarejesha vitu vyote"

ambavyo Mungu alizungumzia zamani za kale kwa vinywa vya manabii watakatifu

"Mungu aliwaambia watakatifu wake manabii kuzungumzia habari zao"

manabii watakatifu ambao wamekuwapo tangu zamani za kale

"manabii wake watakatifu ambao waliishi zamani sana"

atainua nabii

"atateua mmoja kuwa nabii"

Itatokea kwamba kila mtu ambaye hasikilizi kwa nabii huyo ataangamizwa kabisa

mtu asiyemsikiliza Nabii ambaye Mungu amemtuma atamwangamiza kabisa.