sw_tn/act/03/09.md

271 B

Wakatambua kwamba alikuwa ni yule mtu

Kila mmoja alishuhudia kuwa aliyeponywa ndiye alikuwa mtu yule.

Lango la uzuri

Hili lilikuwa moja ya jina la milango ya kuingia kwenye eneo la hekalu.

walijawa na mshangao na kustaajabu

Watu walishikwa na mshangao mkubwa.