sw_tn/act/02/22.md

1.1 KiB

Sentensi unganisha

Petro anaendelea na hoja yake kwa Wayahudi aliyoianza

sikieni maneno haya

"Sikilizeni kwa yale ninayotaka kuwaambia"

aliyethibitishwa na Mungu kwenu kwa matendo ya uweza na maajabu, na ishara

Inamaanisha Mungu anathibitisha kuwa alimchagua Yesu kwa huduma yake ya kudhihirisha matendo makuu ya miujiza.

mwanadamu aliyethibitishwa na Mungu kwenu

"Mtu ambaye Mungu alimdhibitisha kwenu"

Kwa sababu ya mpango uliokusudiwa tangu mwanzo, na maarifa ya Mungu

Inamaanisha kuwa, Mungu alipanga na kujua tangu zamani kwamba yangetokea nyakati za Yesu

ambaye Mungu alimwinua

Maana yaweza kuwa: 1) "Mlimtia Yesu katika mikono ya maadui" au 2) Yuda alimsaliti Yesu kwenu"

kwa mikono ya watu wahalifu, mlimsulibisha na kumuua

Ingawa watu wahalifu kweli walimsulibisha Yesu, hapa Petro anawashitaki kundi lote kwa kumwua kwasababu walikuwa wamekusudia Yesu auawe.

akauondoa uchungu wa mauti kwake, kwasababu haikuwezekana kwake kumilikiwa na huo.

etro anazungumzia kifo kama mfano wa binadamu anayeshikilia wafungwa hara kusababisha mateso makali.