forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
615 B
Markdown
28 lines
615 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Tukio hili lilitukia wakati wa siku arobaini ambazo Yesu alionekana kwao baada ya Yeye kufufuka toka katika wafu.
|
|
|
|
# Alipokuwa akikutana pamoja nao
|
|
|
|
Wakati Yesu alipokutana pamoja na mitume wake.
|
|
|
|
# Ahadi ya Baba
|
|
|
|
Roho Mtakatifu ambaye Baba aliahidi kumtuma.
|
|
|
|
# ambayo, alisema
|
|
|
|
Roho Mtakatifu ambaye Yesu alisema habari zake.
|
|
|
|
# Yohana alibatiza kabisa kwa maji,
|
|
|
|
Yesu anatofautisha ubatizo wa Yohana wa maji, na ule ubatizo wa Mungu ambao utakuwa ni wa Roho Mtakatifu.
|
|
|
|
# Yohana alibatiza kwa maji kabisa
|
|
|
|
"Yohana hasa alibatiza watu kwa maji"
|
|
|
|
# ninyi mtabatizwa
|
|
|
|
"Mungu atawabatiza ninyi"
|