sw_tn/2ti/04/03.md

1.3 KiB

kwa maana wakati unakuja

"kwasababu kwa muda fulani baadaya"

watu

Hali inaonyesha kuwa wale walikuwa watu wa kanisani

hawatachukuliana na mafundisho ya kweli

Hii ina maana kwamba mafundisho ambayo kanisa zima kuchukulia kuwa kweli na sahihi.

watajitafutia waalimu wa kufundisha kile wanacho kitamani, masikio yao yatakuwa tayari kusikia kile wakipendacho.

Maana inawezekana ikawa ni 1) kwa sababu ya tamaa zao binafsi, wao watajikusanyia karibu walimu ambao watasema nini wanataka kusikia au 2) kukusanya karibu walimu ambao wanakubaliana na tamaa zao binafsi na watasema nini wanataka kusikia.

masikio yao yatakuwa yametekenywa

Hii inamaanisha kuwa watu watafurahia kusikiliza mafundisho mapya na ya tofauti. "Kwa namna hii watatafta mambo mapya na ya tofauti ya kujifunza"

Wataacha kusikiliza mafundisho ya kweli

Paulo anazungumzia watu ambao hawajali tena na wala hawasikii. "hawasikilizi tena ukweli"

kazi ya uinjilisti

Hii ina maana kuwaambia watu kuhusu Yesu ni nani?alifanya nini kwaajili yao? na ni kwa jinsi gani waishi kwa ajili yake?

Watageukia hadithi

Paulo anazungumza na watu ambao wameanza kusikiliza hadithi. "wataanza kusikiliza hadithi ambazo si za kweli"

uwe mwaminifu

Paulo anataka wasikilizaji wake kuwa na fikra sahihi kwa kila jambo na aliwaambia wakitaka kuwa waaminifu wasitumie kileo.