sw_tn/2ti/03/10.md

1014 B

wewe umeyafuata mafundisho yangu

" Lakini kwa wewe umekuwa makini katika kuyaangalia/kuyaenenda."

Mafundisho

"Maelekezo"

Mwenendo mzuri.

" Namna ya maisha"

Mateso ya mda

"kuwa na uvumilivu na watu"

Uvumulivu

Maana zake ni 1) "Nitaendelea kumtumikia Mungu hata katika hali ngumu ya kutoweza" au 2) " Nitaendelea kuenenda katika njia ya haki hata katika nyakati ngumu."

Walaghai/Watapeli

"Watu ambao huwadanganya watu kuhusu wao wenyewe" au " Watu ambao hujiweka tofauti na uhalisia wa maisha yao ya kweli."

Na katika hayo yote Bwana akaniokoa

Paulo anazungumzia namna ambavyo Bwana alimuokoa alipokuwa anateseka na hali ngumu na hatari.

kuishi katika maisha ya kumcha Mungu katika Kristo Yesu

"kuishi maisha ya kumcha Mungu kama mfuasi wa Yesu"

watateswa

"yawapaswa kuvumilia mateso"

watazidi kuwa waovu zaidi

"watakuwa waovu zaidi"

Watawapotosha wengine

"Watawasababisha watu wasimtii Kristo"

Wao wenyewe wamepotoshwa.

"Na watu wengine wawasababisha wasimtii Kristo"