forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
677 B
Markdown
28 lines
677 B
Markdown
# Wameniacha
|
|
|
|
Walimuacha kwa kuwa alikuwa amekamatwa na kutupwa gerezani.
|
|
|
|
# Hawakuionea aibu minyororo yangu
|
|
|
|
Onesiphorus hakumuonea aibu Paulo kwa sababu alikuwa gerezani ila alienda kumtembela mara kwa mara. "minyororo" inaelezea mtu aliyeko gerezani.
|
|
|
|
# Mungu amjalie kupata neema... siku ile
|
|
|
|
Paulo anatamani Onesiphorus apokee neema na sio adhabu au 1)Siku Bwana akija tena au 2) Siku ambayo Mungu atawahukumu watu.
|
|
|
|
# Figelo na Hemogene... Onesiforo
|
|
|
|
Haya ni majina ya watu.
|
|
|
|
# kwenye nyumba
|
|
|
|
"kwa familia"
|
|
|
|
# kupata rehema kutoka kwake
|
|
|
|
Paulo anazungumza kuhusu rehema kuwa ni jambo la muhimu la kutafta.
|
|
|
|
# Siku ile
|
|
|
|
Hii inaelezea siku ambayo Mungu atawahukumu watu.
|