sw_tn/2ti/01/15.md

677 B

Wameniacha

Walimuacha kwa kuwa alikuwa amekamatwa na kutupwa gerezani.

Hawakuionea aibu minyororo yangu

Onesiphorus hakumuonea aibu Paulo kwa sababu alikuwa gerezani ila alienda kumtembela mara kwa mara. "minyororo" inaelezea mtu aliyeko gerezani.

Mungu amjalie kupata neema... siku ile

Paulo anatamani Onesiphorus apokee neema na sio adhabu au 1)Siku Bwana akija tena au 2) Siku ambayo Mungu atawahukumu watu.

Figelo na Hemogene... Onesiforo

Haya ni majina ya watu.

kwenye nyumba

"kwa familia"

kupata rehema kutoka kwake

Paulo anazungumza kuhusu rehema kuwa ni jambo la muhimu la kutafta.

Siku ile

Hii inaelezea siku ambayo Mungu atawahukumu watu.