forked from WA-Catalog/sw_tn
677 B
677 B
Wameniacha
Walimuacha kwa kuwa alikuwa amekamatwa na kutupwa gerezani.
Hawakuionea aibu minyororo yangu
Onesiphorus hakumuonea aibu Paulo kwa sababu alikuwa gerezani ila alienda kumtembela mara kwa mara. "minyororo" inaelezea mtu aliyeko gerezani.
Mungu amjalie kupata neema... siku ile
Paulo anatamani Onesiphorus apokee neema na sio adhabu au 1)Siku Bwana akija tena au 2) Siku ambayo Mungu atawahukumu watu.
Figelo na Hemogene... Onesiforo
Haya ni majina ya watu.
kwenye nyumba
"kwa familia"
kupata rehema kutoka kwake
Paulo anazungumza kuhusu rehema kuwa ni jambo la muhimu la kutafta.
Siku ile
Hii inaelezea siku ambayo Mungu atawahukumu watu.