sw_tn/2th/03/10.md

434 B

baadhi wanaenenda paipo utaratibu

Hapa "enenda" linasimama kwa kumaanishatabia katika maisha. AT: "baadhi wanaishi maisha ya "kubweteka" au "wengine ni wavivu"

lakini badala yake ni watu wanaoenenda pasipo utaratibu.

Hawa nia watu wanaoingilia mambo ya wengine pasipo kuombwa kufanya hivyo.

kwa utulivu

"katika utulivu, amani utulivu." Paulo anawaasa watu wazembe waiotaka kufanya kazi waache kuchunguza mambo ya wenzao."