sw_tn/2th/02/16.md

20 lines
464 B
Markdown

# Sentensi Unganishi:
Paulo anamaliza na baraka kutoka kwa Mungu.
# Sasa
Paulo anatumia neno hili kuonyesha badiliko la mada.
# Bwana wetu ...aliyetupenda na kutupatia
Neno hili "aliyetupenda" na "sisi" linajumisha waumini wote.
# Bwana Yesu Kristo mwenyewe
Neno "yeye mwenyewe" liongeza msisitizo kwa neno "Bwana Yesu Kristo."
# awafariji na kuifanya imaramioyo yenu
"mioyo" linamaanisha kwenye sehemu ya hisia. AT: "awafariji na kuwaimarisheni kwa"