forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
464 B
Markdown
20 lines
464 B
Markdown
# Sentensi Unganishi:
|
|
|
|
Paulo anamaliza na baraka kutoka kwa Mungu.
|
|
|
|
# Sasa
|
|
|
|
Paulo anatumia neno hili kuonyesha badiliko la mada.
|
|
|
|
# Bwana wetu ...aliyetupenda na kutupatia
|
|
|
|
Neno hili "aliyetupenda" na "sisi" linajumisha waumini wote.
|
|
|
|
# Bwana Yesu Kristo mwenyewe
|
|
|
|
Neno "yeye mwenyewe" liongeza msisitizo kwa neno "Bwana Yesu Kristo."
|
|
|
|
# awafariji na kuifanya imaramioyo yenu
|
|
|
|
"mioyo" linamaanisha kwenye sehemu ya hisia. AT: "awafariji na kuwaimarisheni kwa"
|