sw_tn/2th/02/05.md

618 B

Hamuyakumbuki...mambo haya?

Paulo anatumiwa swali lisilohitaji kujibiwa kuwakumbusha mafundisho ambayo aliwafundisha awali alipokuwa nao. Hii inaweza kuelezewa kama. AT: " Ninauahakika kuwa mnakumbuka... haya mambo."

mambo haya

Hii ina maanisha kurudi kwa Yesu, siku ya Bwana , na mtu wa kuasi.

atafunuliwa tu kwa wakati muafaka

Hii inaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: "Mungu atamfunua mtu wa uasi kwa muafaka"

siri ya kuasi

Hii ina maanisha kwa siri ambayo Mungu mwenyewe anaifahamu.

anayemzuia

kumzuia mtu ni kuwashikilia nyuma au hali kutowafanya kuendelea na kile wanachotaka kufanya.