sw_tn/2th/01/06.md

574 B

Sentensi Unganishi:

Paulo anapoendelea, anaoongea kuhusu Mungu kuwa mwenye haki.

ni haki kwa Mungu

"Mungu yuko sahihi" au "Mungu ni wa haki"

na raha kwenu

Unaweza kuifafanua kwamba Mungu ndiye arudishae raha. AT:" na kwamba Mungu arudishe raha kwenu."

malaika wa nguvu zake

"Malaika wa Mungu wenye nguvu"

Katika mwali wa moto atalipiza kisasi kwa wale wasiomjua Mungu na wale

"Bwana Yesu atawaadhibu kwa mwali wa moto wale wasiomjua Mungu na wale" au "Kisha kwa mwali wa moto atawaadhibu wale wote wasiomjua Mungu na wote ambao hawamtii Bwana Yesu" (UDB)