sw_tn/2sa/24/17.md

307 B

Nimetenda dhambi, na nimetenda kwa ukaidi

Hivi vifungu vinamaanisha kitu kimoja na vimetumika kwa msisitizo.

Lakini kondoo hawa, wamefanya nini?

Daudi anatumia swali na analinganisha watu na kondoo kusisitiza kwamba hawajakosa.

Tafadhari mkono wako uniadhibu mimi

Hapa "mkono" unamaanisha nguvu.