sw_tn/2sa/24/05.md

223 B

Walivuka

"Yoabu na majemedari wengine wa jeshi walivuka"

Aroeri

Huu ulikuwa mji katika ukingo wa Mto Arnoni.

Yazeri

Huu ni mji huko Gadi.

Tahitimu Hodshi

Huu waweza kuwa mji wa Kadehsi katika nchi ya Wahiti.